Habari Maalumu
Hali ya hewa
IQNA - Paa la msikiti katika Chuo Kikuu cha Mfalme Fahd liliporomoka kutokana na mvua kubwa iliyonyesha Jumatano jioni huko Dhahran, Saudi Arabia.
03 May 2024, 11:28
Nidhamu Katika Qur'ani / 8
IQNA – Qur’ani Tukufu inarejelea baadhi ya mifano ya nidhamu na utaratibu mkubwa katika uumbaji wa dunia ili kuwaalika watu kutafakari na kuwaongoza hadi...
02 May 2024, 17:54
Tafsiri ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Tantawi Jawhari alikuwa mwanazuoni mashuhuri wa Misri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu ambaye kazi yake kuu ilikuwa Al-Jawahir fi Tafsir al-Quran...
02 May 2024, 17:40
IQNA – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt (AS) amesema Uislamu ni mtetezi wa kweli wa haki za binadamu zikiwemo za wanawake.
02 May 2024, 17:20
Jinai za Israel
IQNA: Wakati kukiwa na ongezeko la wito wa kimataifa kwa Israel kujizuia na mashambulizi zaidi Gaza na ripoti za Mei Mosi za mashambulizi mengine mabaya,...
02 May 2024, 17:30
Wanawake
IQNA - Operesheni ya ujenzi wa kituo cha Kiislamu na Qur'ani kwa wanawake ilianza katika sherehe nchini Qatar.
01 May 2024, 23:37
Kadhia ya Gaza
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Ghaza ndilo suala la kwanza kwa Ulimwengu.
01 May 2024, 18:02
Harakati za Qur'ani
IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imerejesha programu yake ya kila siku ya Khatmul Qur'an.
30 Apr 2024, 20:59
Waislamu Ufaransa
IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris ulimkosoa waziri mkuu wa Ufaransa kwa matamshi yake ya hivi karibuni ya chuki dhidi ya Uislamu.
30 Apr 2024, 20:53
Waislamu Marekani
IQNA – Ofisi ya Maadili ya Chuo Kikuu cha Duke nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kuhusu uchafuzi wa mabango kuhusu mwezi wa Ramadhani, jambo ambalo...
30 Apr 2024, 20:36
Hija
IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Iran kwa ajili ya Hija mwaka huu wataondoka kuelekea Saudi Arabia Mei 15.
Hayo yametangazwa wakati wa mkutano...
29 Apr 2024, 19:19
Wanamichezo Waislamu
IQNA – Patrice Beaumelle, kocha wa soka wa Ufaransa ambaye kwa sasa anaongoza timu ya Mouloudia d'Alger katika ligi kuu ya soka ya Algeria, amesilimu.
28 Apr 2024, 10:09
Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh Mutawalli Abdul Aal Alikuwa qari mkubwa wa Misri ambaye alihifadhi shauku yake ya kusoma hadi siku za mwisho za uhai wake.
28 Apr 2024, 08:21
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Inaonekana hakuna nia nchini Uswidi ya kukomesha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, vitendo ambavyo vimewasikitisha na kuwakasirisha Waislamu...
28 Apr 2024, 09:37
Watetezi wa Palestina
IQNA-Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ambapo serikali ya Biden imetoa msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na silaha...
28 Apr 2024, 07:56
Nidhamu Katika Qur'ani /6
IQNA - Ili kutusaidia kupanga hisia zetu na kuboresha nidhamu yetu ya kihisia, Qur'an Tukufu inawasilisha mikakati au stratijia zinazoweza kutumika.
27 Apr 2024, 14:40